Back to home
Viongozi wa Kilifi wataka tofauti zilizoko zizimwe haraka
video
C
Citizen TV (Youtube)January 6, 2026
2d ago
Baadhi ya viongozi wa Chama cha ODM Malindi Kaunti ya Kilifi wamewataka viongozi wa Chama hicho kukoma kutofuatiana hadharani wakisema kuwa ni aibu na hatimaye wataathiri shughuli nzima za Chama hicho.
Advertisement
Advertisement





