Back to home

Ajali Fort Tenan yaua 8, vifo barabarani vyafikia 31 mwaka huu

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 6, 2026
1d ago
Watu 8 zaidi wamefariki kwenye ajali za barabarani huku idadi ya watu waliofariki tangu kuanza kwa mwaka huu ikifikia watu 31. Ajali hii ya punde ikitokea eneo la Fort Tenan kaunti ya Kericho ambako watu 6 wamefariki baada ya basi kugongana na trela
Advertisement