Back to home
Shule ya Lopii Turkana yasalia kufungwa baada ya mtu kuuliwa na wezi wa mifugo eneo hilo
video
C
Citizen TV (Youtube)January 7, 2026
1d ago
Hali ya taharuki imetanda katika Kijiji cha Lopiii Turkana mashariki, baada ya wezi wa mifugo kumuua mtu mmoja kwa kumpiga risasi na kuiba mifugo. Hali hii imesababisha shule ya msingi ya Lopiii kukosa kufunguliwa, wazazi na wanafunzi wakihofia usalama wao
Advertisement
Advertisement




