Back to home
Wizi wa mifugo Kericho: Washukiwa wawili na mwanamke mmoja wafariki kwa kujeruhiwa na umati
video
C
Citizen TV (Youtube)January 11, 2026
4h ago
Washukiwa wawili wa wizi wa mifugo waliuawa kwa kuteketezwa huku mwingine mmoja akipigwa hadi kufa na wakaazi katika kijiji cha Yakwai eneo bunge la Bureti kaunti ya Kericho. Wakazi wanasema washukiwa hao walifumaniwa Jumapili asubuhi walipokuwa wakisafirisha ng'ombe wanaoshukiw
Advertisement
Advertisement



