Back to home
Rais Ruto azuru mlima Kenya, asema atakamilisha miradi
video
C
Citizen TV (Youtube)January 11, 2026
4h ago
Rais William Ruto ameanza ziara yake ya siku tatu mlima Kenya kwa kuhudhuria ibada katika eneo bunge la Othaya. Rais Ruto akitoa hakikisho kuwa ahadi alizotoa kwa watu wa mlima Kenya atazitimiza kabla ya kutafuta kura za muhula wa pili.
Advertisement
Advertisement



