Back to home

Serikali ya kitaifa itatenga shilingi bilioni 4 kila mwezi kukabiliana na ukame

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 14, 2026
2h ago
Serikali ya kitaifa sasa inasema itatoa shilingi bilioni nne kila mwezi katika juhudi za kukabiliana na athari ya ukame inayoshuhudiwa katika sehemu kadhaa nchini. Naibu rais Profesa Kithure Kindiki akisema kuwa serikali tayari imetoa shilingi bilioni sita katika muda wa mwezi mm
Advertisement