Back to home
Makavazi ya kitaifa na serikali ya kaunti ya Migori kushirikiana mafunzo ya ujenzi ulengao vijana 48
video
C
Citizen TV (Youtube)July 14, 2026
3h ago
Makavazi ya Kitaifa ya Kenya, kwa ushirikiano na serikali ya Kaunti ya Migori na washikadau wengine, yatazamiwa kuzindua mpango maalum wa mafunzo ya kujenga ua kwa kutumia mawe makavu ulengao vijana 48 kutoka Kaunti Ndogo ya Nyatike.
Advertisement
Advertisement





