Back to home
Msafiri mkenya anaswa Thailand
video
C
Citizen TV (Youtube)January 15, 2026
3h ago
Familia moja kutoka eneo la Barnabas ,Nakuru inaiomba serikali kuisaidia kumrejesha mwana wao wa miaka ishirini aliyekamatwa nchini Thailand.
Anthony Mwangi alielekea Thailand mwezi oktoba mwaka uliopita ila akakamatwa alipofika nchini humo.
Advertisement
Advertisement



