Back to home
Familia Nakuru yaomba msaada wa serikali kurejesha mwana wao aliyekamatwa Thailand
video
C
Citizen TV (Youtube)January 15, 2026
2h ago
Familia moja kutoka eneo la Barnabas ,Nakuru inaiomba serikali kuisaidia kumrejesha mwana wao wa miaka ishirini aliyekamatwa nchini Thailand. Anthony Mwangi alielekea Thailand mwezi oktoba mwaka uliopita ila akakamatwa alipofika nchini humo
Advertisement
Advertisement



