Back to home
Mshukiwa wa mauaji Shakahola 2023 abadilisha kuwa shahidi wa serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)January 15, 2026
2h ago
Mmoja wa washukiwa kwenye mauwaji ya itikadi ya kidini eneo la Shakahola yaliyotokea mwaka wa 2023 kaunti ya Kilifi sasa amebadilisha nia na kuwa shahidi wa serikali. Jaji wa mahakama ya Mombasa Diana Mochache akiagiza upande wa mashtaka kuhakikisha kuwa shahidi huyo ameandikisha
Advertisement
Advertisement





