Back to home

Shule ya upili ya James Mwei huko Tongareni haina wanafunzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 16, 2026
1h ago
Licha ya wizara ya elimu nchini kuipa shule ya upili ya James Mwei kotoka eneo bunge la Tongaren mikondo mitatu ya kitaaluma , inasikitikisha kuwa tangu Jumatatu shule hiyo imewapokea wanafunzi sita pekee.
Advertisement