Back to home

Chama cha madaktari chashutumu KMPDC kufuatia kifo cha Isoka baada ya matibabu bandia ya meno

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 16, 2026
2h ago
Maswali yanaibuka kuhusu ni nani alishindwa kutekeleza majukumu yake kufuatia kifo cha Amos Isoka aliyeaga dunia baada ya kung'olewa jino na daktari bandia mtaani Kawangware. Chama cha Madaktari wa Meno kimeshutumu tukio hilo na kunyoshea kidole cha lawama Baraza la madaktari KMP
Advertisement