Back to home
Wazazi walalamikia gharama ya juu ya masomo
video
C
Citizen TV (Youtube)January 17, 2026
4h ago
Wizara ya elimu sasa imeongeza muda wa wanafunzi kujiunga na gredi ya kumi hadi tarehe 21 Januari. Tangazo hilo linajiri wakati ambapo shule nyingi haswa za ngazi ya pili na tatu zikisajili idadi ndogo ya wanafunzi huku wazazi wakililia gharama ya karo pamoja na mahitaji ya shule
Advertisement
Advertisement





