Back to home
IPOA yaanzisha uchunguzi wa polisi kufuatia shambulizi kanisa Nyeri
video
C
Citizen TV (Youtube)January 29, 2026
3h ago
Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi IPOA na kitengo cha kuwachunguza maafisa wa polisi vimeanzisha uchunguzi wa kubaini iwapo maafisa wa polisi walihusika kwenye shambulizi la kanisa la ACK Witima huko Nyeri. Ibada hiyo ilikuwa ikihudhuriwa na kinara wa DCP Riga
Advertisement
Advertisement




