Back to home
Makueni yapiga hatua kupunguza vifo vya mama na watoto wachanga kwa wodi mpya ya uzazi
video
C
Citizen TV (Youtube)January 31, 2026
3d ago
Kaunti ya Makueni imepiga hatua katika kukabili vifo vya akina mama wanapojifungua pamoja na watoto wachanga. Hii ni kufuatia ushirikiano na wakfu wa mpesa kuikabidhi kaunti hiyo jengo jipya la wodi ya uzazi.
Advertisement
Advertisement





