Back to home
Mchakato wa mpito wa gredi ya 10 kwa wanafunzi Makueni waanza kwa mwendo wa kobe
video
N
NTV Kenya (Youtube)January 13, 2026
3h ago
Mchakato wa mpito wa gredi ya 10 kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na shule za upili Makueni ulianza kwa mwendo wa kobe, huku idadi ndogo ya wanafunzi na wazazi wakijitokeza katika siku ya kwanza.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as
Advertisement
Advertisement





