Back to home
Huzuni Nakuru baada ya mwanafunzi wa gredi ya sita kupatikana ameaga dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
2h ago
Mwanafunzi wa gredi ya sita katika Kijiji cha Lare, kaunti ya Nakuru amepatikana ameuwawa na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi. Kulingana na wakaazi, mtoto huyo Mercy Mureithi aliondoka nyumbani jumatatu kuelekea shuleni ila hakurejea jioni. Na kama Maryanne Nyambura a
Advertisement
Advertisement





