Back to home
Wafanyabiashara Githurai na Kitengela wahesabu hasara ya mamilioni baada ya vurugu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
2h ago
Wafanyabiashara katika maeneo ya Githurai na Kitengela wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya wahuni kuvamia maeneo yao ya biashara wakati wa maandamano ya kupinga bei ya juu ya mafuta.
Wafanyabiashara hao sasa wanaitaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya kuwalinda p
Advertisement
Advertisement





