Back to home

Ruto akamilisha ziara Kazakhstan, atia saini mikataba ya ushirikiano

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 20, 2026
2h ago
Rais William Ruto amekamilisha ziara yake ya siku mbili nchini Kazakhstan leo, akitia saini mikataba ya makubaliano na Rais Kassym-Jomart Tokayev wa taifa hilo.
Advertisement