Back to home

Arsenal yatwaa ubingwa wa EPL baada ya miaka zaidi ya 20

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 20, 2026
2h ago
Baada ya zaidi ya miongo miwili, Arsenal hatimaye imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu nchini Uingereza. Hii ni baada ya wapinzani wao wakuu Manchester City kutoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumanne. Ushindi huo umeibua shamrashamra na sherehe miongoni mwa masha
Advertisement