Back to home

Mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi Nakuru akiri kosa, akamatwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 21, 2026
1h ago
Mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa gredi ya sita Mercy Nyambura katika eneo la Njoro, Kaunti ya Nakuru, amekiri kuhusika na kifo chake. Mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 16 amekamatwa leo na maafisa wa upelelezi. Kulingana na taarifa za uchunguzi, uchunguzi wa maiti umebaini ku
Advertisement