Back to home
Wanafunzi 100 kutoka kaunti ya Machakos wahimizwa kuendelea kuboresha ujuzi wao
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Wanafunzi mia moja kutoka kaunti ya Machakos waliopitia mafunzo ya urembo, ushonaji na stadi mbalimbali za kujiajiri wamehimizwa kuendelea kuboresha ujuzi wao ili kujenga biashara zenye tija na kujitegemea kiuchumi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news toda
Advertisement
Advertisement




