Back to home
Wakaazi wa Kisauni waitaka serikali kuharakisha mchakato wa utoaji wa hatimiliki za ardhi
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Wakazi wa eneo la Guu Ng’ombe-Mwakirunge katika eneo bunge la Kisauni wameitaka serikali ya kaunti ya Mombasa kuharakisha mchakato wa utoaji wa hatimiliki za ardhi ili waweze kunufaika kikamilifu na miradi ya maendeleo inayolengwa kutekelezwa katika eneo hilo.
Subscribe and w
Advertisement
Advertisement




