Back to home
Nairobi United yafanya mazoezi mapesi kabla ya mechi na Azam kesho
video
C
Citizen TV (Youtube)January 31, 2026
14h ago
Timu ya Nairobi United jana jioni iliandaa mazoezi mapesi kabla ya kuikabili azam ya Tanzania hapo kesho katika mechi ya nne ya makundi ya kombe la mashirikisho barani Afrika
Advertisement
Advertisement





