Back to home

Watu 6 wauawa kwenye uvamizi Kakong'u, Turkana kusini

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 2, 2026
6h ago
Hali ya taharuki na wasiwasi imeendelea kutanda katika kijiji cha Kakong’u, Turkana Kusini, kufuatia uvamizi uliotekelezwa na wezi wa mifugo ambako watu sita wameuawa. Watu wengine wawili wamejeruhiwa, na mifugo zaidi ya 2,000 kuibwa. Uvamizi huu unajiri siku chache tu baada ya
Advertisement