Back to home

Mgomo wa wauguzi Nyamira

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 4, 2026
4d ago
Viongozi wa muungano wa wauguzi katika kaunti ya Nyamira wametoa ilani ya mgomo ya siku 14, kulalamikia mazingira duni ya kufanyia kazi, pamoja na kazi za sulubu kutokana na idadi ndogo ya wauguzi na uhamisho wa kila mara unaokiuka sheria na haki za wahudumu hao. Wakiwahutubia w
Advertisement