Back to home
Viongozi wa wauguzi watoa makataa ya siku 14 Nyamira
video
C
Citizen TV (Youtube)February 4, 2026
4d ago
Viongozi wa muungano wa wauguzi katika kaunti ya Nyamira wametoa ilani ya mgomo ya siku 14, kulalamikia mazingira duni ya kufanyia kazi, pamoja na kazi za sulubu kutokana na idadi ndogo ya wauguzi na uhamisho wa kila mara unaokiuka sheria na haki za wahudumu hao.
Wakiwahutubia w
Advertisement
Advertisement





