Back to home

Wakazi wa Ndumumu wapinga matumizi ya maji yao na wawekezaji wa kibinafsi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 6, 2026
2h ago
Wakaazi wa Ndumumu kwenye mpaka wa Kathiani na Mwala kaunti ya Machakos wanalalamikia hatua ya baadhi ya waekezaji wa kibinafsi kwa kuanzisha mpango wa kutumia maji kutoka bwawa la Ndumumu ambalo wanahisi huenda likakauka.
Advertisement