Back to home

Siaya na Lwala kuimarisha afya baada ya kutia saini mkataba wa maelewano wa miaka 5

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 6, 2026
2h ago
Serikali ya Kaunti ya Siaya na Muungano wa Jumuiya ya Lwala wametia saini Mkataba wa Maelewano wa miaka mitano (MOU) ili kuimarisha mifumo ya afya ya jamii, inayolenga kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today a
Advertisement