Back to home

Wagonjwa wa saratani walilia gharama ya dawa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 9, 2026
2w ago
Wagonjwa wa saratani katika hospitali ya kitaifa ya Kenyatta wana hofu kuhusu uhaba wa dawa unaowalazimu kununua dawa za ghali kutoka maduka za kibinafsi nje ya hospitali. Licha ya kutumia bima ya afya ya SHA, wagonjwa hao wanasema gharama kubwa ya dawa hizo nje ya hospitali inam
Advertisement