Back to home
Baadhi ya wanafunzi wa gredi ya 10 washindwa kuripoti shule
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
1w ago
Na huku serikali ikisalia kimya kuhusu hatma ya baadhi ya wanafunzi wa gredi ya kumi, familia nyingine imeshindwa kumpeleka mwana wao shuleni, licha ya wenzao kuanza masomo mwezi mmoja sasa. Familia moja kutoka eneo la Dandora hapa Nairobi ikishindwa hata kumpeleka mwana wao kati
Advertisement
Advertisement





