Back to home

Wizara ya elimu itaunganisha shule zenye wanafunzi wachache

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Wizara ya Elimu iitaunganisha au kufunga baadhi ya shule zenye idadi ndogo ya wanafunzi au zile ambazo hazina miundombinu ya kutosha. Katibu katika wizara ya elimu Profesa Julius Bitok amesema kuwa hatua hiyo itasaidia kuboresha ufanisi wa mtaala wa CBE na kuhakikisha shule hizo
Advertisement