Back to home
Gavana wa Kwale achani azindua ujenzi wa barabara tatu za cabro
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
2h ago
Gavana wa Kaunti ya Kwale Fatuma Achani amezindua rasmi ujenzi wa barabara tatu za cabro katika wadi za Ukunda Bongwe Gombato na gatuzi dogo la Msambweni.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Gavana Achani amesema miradi hiyo inalenga kuboresha mji wa kitalii wa Diani ili kuvutia
Advertisement
Advertisement



