Back to home

Fujo Mathira baada ya mwili wa mtoto kupatikana chooni, nyumba ya mshukiwa yateketezwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 10, 2026
3h ago
Kizaazaa na fujo zilishuhudiwa siku kutwa katika eneo la mathira kaunti ya Nyeri, ambapo polisi na wakazi wa Kijiji cha Rititi walikabiliana vikali. Hii ni baada ya wakazi kuopoa mwili wa mtoto wa miaka 9, uliokuwa umetupwa chooni. Mtoto huyo, Shantel Waruguru aliyekuwa ameripoti
Advertisement