Back to home
Baraza la Magavana latishia kutaja maseneta wanaodaiwa hongo, ladekeza kususia Seneti
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
3h ago
Baraza la magavana sasa limetishia kuwasilisha majina ya maseneta wanaoitisha hongo katika vikao vya kamati ya seneti ya uhasibu na kuhujumu utendakazi wa magavana. Mwenyekiti wa baraza la magavana ahmed abdullahi amemuandikia barua spika wa seneti Amason Kingi kuandaa kikao cha
Advertisement
Advertisement



