Back to home
Wezi wa mifugo wavamia Lokwamosing, shule yafungwa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
1d ago
Hali ya taharuki imetanda katika kijiji cha Lokwamosing eneo bunge la Turkana mashariki baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo na kuiba mifugo wapatao elfu mbili waliokuwa malishoni. Ni uvamizi ambao umesababisha kufungwa kwa shule ya msingi ya Lokwamosing ambako walimu pia wa
Advertisement
Advertisement




