Back to home

Wazee wa jamii ya waswahili Mombasa walalamika kuachwa nje katika maswala ya kitaifa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 11, 2026
2h ago
Wazee wa jamii ya waswahili kaunti ya Mombasa wamelalamikia kuachwa nje katika masuala ya kitaifa na ya kaunti. Wakizungumza katika mtaa wa old town, wazee hao wanadai vijana kutoka jamii hiyo wanatengwa kwenye nafasi za kazi, suala ambalo wanadai linachangia kuwepo kwa magenge
Advertisement