Back to home
Wakazi wa Kisii na Taita Taveta wahamasishwa kutoa maoni kuhusu mpango wa kuuza hisa 15 za Safaricom
video
C
Citizen TV (Youtube)February 11, 2026
3h ago
Wakazi wa kaunti za Kisii na Taita Taveta hii leo wamepata fursa ya kutoa maoni yao kuhusu mapendekezo ya serikali kuuza asilimia 15 ya hisa zake katika kampuni ya Safaricom. Katika vikao hivyo vilivyoongozwa na kamati ya Bunge ya Fedha na Mipango ya kitaifa, baadhi ya raia walie
Advertisement
Advertisement





