Back to home
EACC yachunguza wizi wa shilingi millioni 3.6 zilizotumika kwa taa za krismasi Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)February 12, 2026
3h ago
Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi (EACC) imeanzisha uchunguzi kuhusu madai ya wizi wa pesa za umma dhidi ya Maafisa Wakuu wa Serikali ya Kaunti ya Bungoma katika hafla ya kuwasha taa za mti wa Krismasi zilizogharimu Shillingi milioni 3.6.
Advertisement
Advertisement




