Back to home
Wafanyibiashara katika kaunti ya Kwale wameunga mkono agizo la kamanda wa polisi Ali Nuno la risasi
video
C
Citizen TV (Youtube)February 12, 2026
3h ago
Wafanyibiashara katika kaunti ya Kwale wameunga mkono agizo la kamanda wa polisi wa Pwani Ali Nuno kwa maafisa wa polisi kutumia nguvu kuwakabili wahalifu wa magenge ya panga boys. Wanasema hatua hiyo itaimarisha usalama ambao umedorora eneo la Pwani na kuwajaza hofu wafanyibiash
Advertisement
Advertisement




