Back to home

Kaunti ya Trans Nzoia yaongeza juhudi na mikakati kabambe ya matibabu kwa wagonjwa wanaougua kifafa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 12, 2026
3h ago
Sekta ya afya katika Kaunti ya Trans Nzoia, imeongeza juhudi na mikakati kabambe ya kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaougua kifafa. Takwimu kutoka Idara ya Afya zinaonyesha kuwa idadi kubwa ya wagonjwa hao hukabiliwa na changamoto ya kugharamia matibabu kutokana na um
Advertisement