Back to home
Wakulima Moranga wanakadiria hasara kubwa sokoni kufuatia wingi wa maembe nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)February 13, 2026
1w ago
Kufuatia wingi wa maembe uliosababishwa na ongezeko la uzalishaji msimu huu, wakulima wanakadiria hasara kubwa kwa kukosa soko la mazao yao.
Hali hiyo imeifanya serikali ya kaunti ya Murang'a kununua maembe katika mpango wake wa kuwalisha watoto shuleni.
Hatua hiyo inalenga kuwal
Advertisement
Advertisement




