Back to home

Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu amewarai wanasiasa kukomesha kampeni za mapema

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 13, 2026
3h ago
Gavana wa Kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu amewarai wanasiasa kukomesha kampeni za mapema za kutaka kumrithi na badala yake wampe nafasi ya kukamilisha miradi aliyowaahiri wananchi. Akizungumza huko Melelo,Narok Kusini alipozindua rasmi zahanati ya kwanza eneo hilo, Gavana Ntutu
Advertisement