Back to home

Serikali inalenga kupanua mradi wa Galana Kulalu ili kuimarisha utoshelevu wa chakula

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 13, 2026
3h ago
Serikali inalenga kupanua mradi wa Galana Kulalu ili kuimarisha utoshelevu wa chakula na kukabili baa la njaa linalokumba zaidi ya kaunti 20 nchini.
Advertisement