Back to home
Wanaharakati wahudumu wa afya na wahisani wa kaunti ya Nandi waanda kampeni za kuchangisha damu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 13, 2026
3h ago
Kundi la wanaharakati, wahudumu wa afya, na wahisani kutoka kaunti ya Nandi wamefanya matembezi ya hisani ya kilometa 40, kuanzia mjini Kapsabet kuelekea Eldoret, ili kutoa hamasa kuhusu umuhimu wa kutoa damu.
Advertisement
Advertisement





