Back to home
Ndindi Nyoro asema serikali itapoteza mabilioni kwa kuuza hisa za Safaricom KSh 34
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
4h ago
Mbunge wa kiharu ndindi nyoro sasa anashinikiza mchakato wa uuzaji wa hisa za safaricom usitishwe mara moja akidai kuwa wakenya tayari wananunua hisa hizo kwa bei nafuu ikilinganishwa na bei ya serikali ya shilingi 34 kwa kila hisa. Nyoro anasema kuwa wakenya watapoteza mabilioni
Advertisement
Advertisement





