Back to home

Koplo peter wamiti kusalia jela Nyeri hadi tarehe tano mei, kwa madai ya mauwaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
2h ago
Koplo Peter Wamiti Mwangi, afisa wa Polisi anayehusishwa na mauaji ya mfanyabiashara George Gathu, atasalia rumande mpaka mwezi mei tarehe tano, siku ambayo mahakama itatoa mwelekeo zaidi, kuhusu mkondo utakaochukuliwa kwenye kesi Hiyo.
Advertisement