Back to home

ODM yathibitisha mshikamano kwa uongozi wa Oburu Oginga licha ya pingamizi la ndani

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
2h ago
Mwenyekiti wa ODM Gladys Wanga na Gavana wa Kakamega Fernandez Barasa wamesema kwamba wataendelea kumuunga mkono kinara wa chama hicho Oburu Oginga licha ya pingamizi kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa chama hicho. Kwengineko, wanasiasa wa UDA kutoka eneo la Magharibi wameendelea
Advertisement