Back to home
Matiang’i asisitiza hatoruhusu maamuzi yasiyo wazi ya upinzani kuhusu urais
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
2h ago
Naibu kinara wa Jubilee Dkt. Fred Matiang’i, amesisitiza kuwa hatokubali maamuzi yoyote ya muungano wa upinzani kuhusu nani atakayepeperusha bendera ya urais kwa niaba ya muungano huo endapo hayatakuwa ya huru na wazi. Azma ya Matiang’i kutaka kuwania urais ikipigwa jeki baad
Advertisement
Advertisement





