Back to home

Waislamu waanza kufunga Ramadhan Kenya, viongozi wahimiza kusaidia maskini na kuimarisha usalama

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 18, 2026
2h ago
Baadhi ya waislamu nchini na ulimwenguni wameanza kufunga mwezi mtukufu wa ramadhan, kwenye ibada inayowazuia kula na kunywa kwa muda wa mwezi mmoja. Viongozi wa kidini pamoja na wasilamu wamewataka wakenya kutumia mwezi huu kuwakumbuka wasiojiweza hasa wanaokabiliwa na makali ya
Advertisement